Monday, June 27, 2016

Rais Zuma aamrishwa kurejesha pesa za Umma.


Image copyright
Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ameambiwa kuwa ni lazima alipe zaid ya dola nusu milioni pesa za umma, ambazo alitumia kukarabati nyumba yake.
Mahakama ya juu zaidi nchini Afrika Kusini imetaka wizara ya fedha, kutambua ikiwa ni kiaisi gasi Rais Zuma anasathili kurejesha kufutia uamuzi wa mapema mwaka huu kuwa alikuwa amekiuka katiba
Image copyrightREUTERS
Image captionMakao ya Zuma ya Nkandla
Kumekuwa na wito wa kumtaka Raia Zuma ajiuzulu kutokana na sakata hiyo.

No comments:

Post a Comment