Monday, June 20, 2016

WABUNGE WA UKAWA WATOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE KWA STYLE NYINGINE.
IMG-20160620-WA0025Wabunge wa upinzani wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi  UKAWA, leo June 20 2016 wameendelea kutoka nje ya Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa mara nyingine  tena, wabunge hao wametoka nje ya Bunge kwa style kuziba midomo ambapo wanasisitiza kuendelea kotokuwa na imani na naibu spika Dk. Tulia Ackson.


IMG-20160620-WA0026

IMG-20160620-WA0020

IMG-20160620-WA0021

IMG-20160620-WA0022
IMG-20160620-WA0023

No comments:

Post a Comment