Saturday, January 23, 2016

NINAZO PICHA KUMI KUTOKA KANIZA LA KLPT BAGAMOYO SEHEMU AMBAYO MKESHA WA KUSIFU NA KUABUDU ULIFANYIKIA. (OVERNIGHT) jana 22/1/2016.


jana update ambayo ilimake headlines kupitia TINGMUGOA.BLOGSPOT.COM ni hii ya overnight ya kusifu na kuabudu, mkesha huo uliandaliwa na wana CASFETA wa chuo cha SLADS BAGAMOYO, mkesha huo ulikuwa ni wa kujiandaa na kuomba baraka juu ya  mitihani inayoenda kufanywa na wanachuo wa chuo hicho  kuanzia juma tatu ya tarehe 25/0/2016. watu walikuwa ni wengi sana hasa wanachuo wa chuo hicho, mkesaha huo ulimalizika saa kumi usiku na ndipo watu wote wakaelekea majumbani mwao kulala. baadae tembelea ting mugoa kupitia youtube kuangalia video za mkesha huo.









No comments:

Post a Comment