Thursday, January 21, 2016

Zimbabwe yaharamisha ndoa za watoto


Image copyright
Image captionJamii nyingi za Afrika bado zinashikilia utamaduni wa ndoa za wasichana
Mahakama ya kikatiba nchini Zimbabwe imeharamisha ndoa za kitamaduni za watoto, ikisema kuwa watu walio chini ya umri wa miaka 18 hawaruhusiwi kuoa au kuolewa.
Watoto wamekuwa wakilazimishwa kwa ndoa za mapema kwa misingi ya kidini sehemu kadha za zimbabwe.
Serikali inasema kuwa asilimia 31 ya wasichana huolewa wakiwa chini ya miaka 18 licha ya hilo kuwa kinyume na katiba iliyotekelezwa mwaka 2013.

No comments:

Post a Comment