Tuesday, February 16, 2016

MSANII WA BONGO FLEVA JOHN WOKA AFARIKI DUNIA.
Image result for JOHN WOKA
Msanii John Woka  toka kundi la watukutu amefariki dunia alfajiri ya  february 16 John woka ambaye  alitamba na ngoma zake kali kama mganga,hii kitu hii na kupendwa na mashabiki   kwa style yake ya kurap kama mlevi.
john woka amefariki baada ya kupata ajali  wakati anatengeneza gari maeneo yasinza katika mfumo wa Ac inasemekana kuna kitu kilivyetuka baada ya kufungua Ac na kumpiga kwenye paji la uso na kuingia kama nchi 3 au 2 kwahiyo damu nyingi iliweza kumwagia ndani ya kichwa mpaka anafikishwa hospitali Woka alikuwa katika chumba cha ICU kwa kuwa hali yake ilikuwa mbaya.

No comments:

Post a Comment