Thursday, February 11, 2016


Image result for virusi vya zika
Wanasayansi  wa  ngazi  ya  juu  duniani  kote  wameahidi kuchangia  kwa  haraka  na  huru data  zote, utafiti  na utaalamu  wao  kuhusiana  na  virusi  vya  Zika  katika juhudi  za  kupambana  na  ugonjwa  huo.
Mambo  mengi  hayafahamiki  juu  ya  ugonjwa  huo unaombukizwa  kupitia  mbu, ugonjwa  amabo umesababisha hali  ya  wasi  wasi  kimataifa, hususan katika  mataifa  ya  Amerika  ya  kusini na  eneo linalopatikana  kwa  wingi  ugonjwa  huo  nchini  Brazil.

Shirika  la  afya  ulimwenguni  WHO limetoa  maelekezo kwa  wanawake, hususan  wale  ambao  ni  waja  wazito , juu  ya  kujilinda  dhidi  ya  virusi  hivyo.

No comments:

Post a Comment