taarifa zikufikie popote pale ulipo kuwa timu ya mpira wa miguu ya DIPLOMA 1 GREEN leo imeyaaga mashindano lasmi baada ya kupokea kichapo cha magoli mawili bila kutoka timu ya
CERTIFICATE GREEN.
chezo huo ulikuwa ni mchezo wa piga nikupige, diploma 1 walijalibu kupata nafasi mbalimbali za kupata magoli lakini haikuwa hivyo.
MASHABIKI
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgbBG0evjFiI1wg5egE1Z5KZOs2zbyecEVmEHcP8fseKJ04Cn9OulxjnsyQoebDznp4tPPEdd-gVscyXHnvKup3QAd8eEEYN6d-FcLZ0Ne5IG051OKZFoaGng7cVxpspSNtniYcUv3IbTc/s400/IMG_20151118_174701.jpg)
PANAPO MAJALIWA TUKUTANE KESHO.
No comments:
Post a Comment