Friday, November 20, 2015

Vitu 12 vya Rais Magufuli Bungeni ambavyo nimeona visikupite.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli amelihutubia Bunge leo November 20 2015 Dodoma kwa mara ya kwanza tangu ameapishwa kuwa Rais wa awamu ya tano.
Hapa ninazo nukuu  chache nilizozipata nikazisogeza kwenye #Tweets wakati wa hotuba yake.
VIDEO0058_0000197054
VIDEO0058_0000027192
VIDEO0058_0000177452
Waziri Mkuu kwenye siti yake Bungeni, Majaliwa Kassim Majaliwa.
Rais MAGUFULI #Nataka iwe ‘Kazi tu’ hatuwezi kulea watu ambao wanalipwa mishahara tu wakati hawafanyi kazi yoyote

No comments:

Post a Comment