Tuesday, November 10, 2015

SLADS INTERCLASS ITAANZA KUTIMUA VUMBI LEO.

ligi ya chuo cha SLADS inayowakutanisha wachezaji wa diploma2 , diploma1, na certificate itaanza kutimua vumbi leo saaa kumi alasili kutoka katika viwanja vya chuo hicho.mechi ya ufumbuzi itakuwa ni kati ya mabingwa wa ligi hiyo kwa mara nne nao ni DIPLOMA 2 GREEN na DIPLOMA 1 PINK.

diploma 2 green wakiwa mazoezini jana.

 












 ratiba ya ligi mishezo yote:



 TING MUGOA NA TEAM YANGU TUTAKUWEPO KUHAKIKISHA TUNAKUPA MATANGAZO YA LIVE KUTOKA VIWANJA VYA CHUO HICHO.

SHUKRANI YA PEKEE ZIWAFIKIE WADHAMINI WETU: VODACOM TANZANIA NA PRO SIGNS.

 

POINT YA MSINGI TUPIA COMENT YAKO THEN TUANZA NAYO UWANJANI, 



























WADAMINI WA TING MUGOA MEDIA.






No comments:

Post a Comment