Tuesday, November 3, 2015


                          

 Wakati zikiwa zimebaki siku tano ligi ya chuo cha SLADS BAGAMOYO ianze kutimua vumbi, mabingwa wa ligi hiyo kwa mara nne mfurulizo DIPLOMA 2 GREEN wameanza mazoezi yao hapo jana na leo walikuwa na kikao kwa ajiri ya maandalizi.
:
Ujumbe mkubwa uliotolewa na baadhi ya viongozi na wachezaji wa timu hii ni kutaka kushuhudia timu zote zikicheza kwa kujituma.

No comments:

Post a Comment