Wednesday, December 2, 2015

Chris Brown kuzuiliwa tena kufanya tour Australia?! New Zealand, Canada na Britain je?


Mwezi September mwaka huu, ilionekana vigumu kwa staa wa muziki wa R&B, Chris Brown kuingia Australia na kufanya show, sababu kuu zilikuwa mbili, utapeli na historia yake ya kupiga wanawake… lakini hiyo ilikuwa issue ya miezi mitatu iliyopita.. December hii mambo yapoje?
FILE - In this Feb. 16, 2015 file photo, singer Chris Brown performs at the Barclays Center in New York. Brown tweeted Tuesday, Feb. 24, that he’s been denied entry into Canada and that his concerts in Montreal and Toronto have been canceled. The Grammy-winning R&B singer was scheduled to perform at the Bell Centre in Montreal on Tuesday and the Air Canada Centre in Toronto on Wednesday night. (Photo by Greg Allen/Invision/AP, File)
Serikali ya Australia imempatia staa huyo wa Virginia notice kuhusu kufikiria kuingia nchini humo, notice ambayo akiichukulia poa itamzuia kufanya tour yoyote Australia… Kufuatia notice hiyo, promter wa Chris Brown hivi karibuni alichukua maamuzi ya kufuta tour mbili za msanii huyo, Tour ya Australia na tour nyingine ya New Zealand!
zea2
Kwa mujibu wa mtandao wa Billboard wa Marekani, promoter wa Chris Brown alichukwa time na kusema…
>>> “Mr. Brown na mapromoter wake wote wanamatumaini kuwa tour hizo zitafanyika siku zijazo za mbele, licha ya hayo Mr. Brown angependa kuchua nafasi hii kuomba radhi kwa mashabiki wake na pia kuwashukuru kwa support yao kubwa wanayompa na anategemea kukutana na nyie kwenye tour nyingine zijazo“. <<< Nukuu kutoka Billboard.
LOS ANGELES, CA - JUNE 29: Singer Chris Brown performs onstage during the BET AWARDS '14 at Nokia Theatre L.A. LIVE on June 29, 2014 in Los Angeles, California. (Photo by Kevin Winter/Getty Images for BET)
Sababu kuu ya kumzuia Chris Brown kuingia kwenye nchi hizo na kufanya tour ni zile zinazoambatana na historia yake ya kumpiga na kumjeruhi aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Rihanna… ukiacha hayo Britain, Canada na New Zealand pia wamegoma kutoa visa yoyote kwa ajili ya msanii huyo kuingia kwenye nchi hizo.

No comments:

Post a Comment