Thursday, December 31, 2015

COMING SOON LIVE INTERVIEW NA STEVEN KUTOKA CHUO CHA UKUTUBI NA UHIFADHI WA NYARAKA KIJANA AMBAYE HANA UWEZO WA KUONA (BLIND).



LAKINI ANAWEZA KUFANYA MABO YAKE KAMA KAWAIDA, KAMA KUINGIA DARASANI NA KUSOMA, KUTAMBUA RANGI MBALILIMBALI NA MENGINE MENGI, endelea kuwa karibu na TING MUGOA ili kuiona video hiyo soon kupitia facebook, instagram, na kupitia BLOG YETU WWW.TINGMUGOA.BLOGSPOT.COM na kupitina youtube ni TING MUGOA.

1 comment: