Wednesday, November 4, 2015

Hii ndio zawadi ya Diamond kwa Queen Darleen.


kama tulivyozoea kuona mastar wengi huitumia siku ya kuzaliwa  kupeana zawadi kali,  sasa hii imetokea kwa  staa wa kike wa Bongo Fleva, Queen Darleen ambaye leo November 4, 2015 ni siku ya kuzaliwa na kufanyiwa bonge la suprise la kwa kuzawadiwa  gari aina ya RACTIS na kaka yake Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz.


No comments:

Post a Comment