Obama atoa onyo kali kwa Afrika Kusini
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjsdGdxe9Ot_UTfTYOnQKvlAXBt-PsL5HAjN9sBRhHl_vMuRPd1eqU6msbsFkNlGwkRmSHPqYAsvQgIe3VS83_JBhMtle218XLLjOcJBQXkshmjG43L0GymngPpDiaRXclxXjFBh-t42ag/s320/151105234558_sp_obama_640x360_ap_nocredit.jpg)
Obama amechukua hatua hiyo kwa vile Afrika Kusini imeendelea kuweka vikwazo kwa wafanyabiashara wa Marekani.
Afrika Kusini ilipiga marufuku kuagiza mazao ya kuku mwezi Decemba kutokana na kutokea kwa mlipuko wa ugonjwa wa mafua ya ndege na kwa miaka kadhaa imekuwa ikitoa adhabu ya kodi kwa baadhi ya bidhaa za kuku kutoka Marekani.
No comments:
Post a Comment