Saturday, November 7, 2015

           WEUSI "HATUKUJUA KAMA TUNAKUBALIKA KI HIVI MJINI BAGAMOYO"

kikundi cha waimbaji wa kufokafoka ali maarufu WEUSI jana walishiriki katika tamasha la KARIBU MUSIC FESTIVAL lililofanyika katika viwanja vya mwanakalenge wilayani BAGAMOYO.

JOH MAKINI



 NIKI WA PILI

weusi walishangaa kuona kila nyimbo wanayoiimba inawapa mzuka mashabiki,weusi walipanda stegini baada ya msanii wa kimataifa PAPAA WEMBA kutoka CONGO.








G NAKO.

No comments:

Post a Comment